Msanii wa bongo flava DIAMOND PLATINUM afunguka na kusema anamwajua wqnaomsich na hatalifumbia m,acho swala hilo kwasababu wanachafua jina lake mtaani na kumvunji heshima
jamiii na alisisitiza tena kwa kusema atawachukulia hatua wote wanaotumia jina lake vibaya

0 Response to "DIAMOND AFUNGUKA VIBAYA AKIHOJIWA NA MILLAD AYO"
Post a Comment